Tuesday, May 29, 2012

WAWEKEZAJI WA UMEME TOKA UINGEREZA WAKUTANA NA PINDA



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wawekezaji kutoka kampuni ya Endenville Energy PLC ya Uingereza ambao wanakusudia kuwekeza katika umeme wa makaa ya mawe nchini.Wawekezaji hao ni Mwenyekiti wa Kampuni Simon Rollason  (kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni, Mark Pryor (wapili kushoto) na kushoto ni Mwenyeji wao, Cassiano Kaegele,  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Upendo Group ya Sumbawanga.

3 comments:

  1. WAFANYE MAPEMA AYO MAMBO BWANA WATU WANA SHIDA YA UMEME WAMECHOKA KUKAA NA GIZA

    ReplyDelete
  2. tushabak kutapeliwa 2 tatzo hatuandai strategy za kuwabana hawa wawekezaji hata mirad mingi inakufa hata sielew why 2nawafumbia macho na kuwakingia vifua lazma tusimame tuwe makin katka utendaji we2 na kujali nchi ye2 we have to change our behaviour first in order to build the new society

    ReplyDelete
  3. YAP AZDAH SEMA NINI INABIDI KWANZA KUANGALIA HII WIZARA HUSIKA WA SWALA HILI LA UMEME NA KUCHEKI TUNAFANYA NINI KUTATUA HILI TATIZO SIO KILA SIKU WAWEKEZAJI WANAKUJA NA KUZUNGUMZA JUJUU TU THEN NOTHING DONE,MARA NGAP TUMEONA MASWALA HAYA

    ReplyDelete