Weekend iliyoisha
girlfriend wa John Legend "Chrissy" aliingia katika vita kali na
mashabiki wa Chriss Brown baada ya kutweet kuhusu lips za Chriss
Brown wakati wa Billboard Music Awards. Wakati huo huo alikuwa kwenye
stage akatweet “ Lip syncing is a helluya drug” kitu kilichopelekea mashabiki
wa Breezy kuchukia sana
usiku ule hadi kesho yake pia. Chrissy alitumia muda mwingi usiku ule
kuwaentertain mashabiki wake kwa kuretweet jinsi walivyokuwa wakipewa vitisho
vya mauaji kabla mwishowe ajaamua kwamba imetosha.
No comments:
Post a Comment