Saturday, May 12, 2012

MWANA CHUO:TUNAOMBA TUONGEZEWE IDADI YA COMPUTER MAKTABA (SAUT)



Kutoka katika Chuo kikuu cha Mtakatifu Augustine (SAUT)jijini Mwanza,mwanafunzi ashauli chuo icho kinatakiwa kuongeza idadi ya computer maktaba umo,ili kuwapa nafasi wanafunzi hao kuwa na uwezo wa kutumia computer kwa mda mrefu na sio kusubiliana foleni.Mwanafunzi uyo pia anasema matumizi ya tecknolojia kwa sasa ni muhimu hasa wakati pale mwanafunzi anahitaji kupata taarifa zinazoendelea apa duniani pamoja na kupata nafasi ya kutafuta vitu ambavyo vinahusiana na masomo yake darasani.

 

1 comment:

  1. pia wazingatie speed ya internet kwasabau iko slow sana hasa sisi ambao tuna access ya wireless nje ya chuo na tunakaa mbaaaallii

    ReplyDelete