Saturday, May 12, 2012

MAMA NTILIE (MAISHA PLUS) WASHAULIWA KUZINGATIA USAFI



Moja kati ya sehemu zinazouza vyakula karibu na maeneo ya chuo (SAUT) kunapofahamika kwa jina la MAISHA PLUS,washauliwa na wanafunzi wa chuoni apo kuzingatia swala zima la usafi,ambapo imegundulika hivi karibuni kiwango cha usafi kimeshuka, kitu kinacho weza sababisha maambukizi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo kipindupindu.Kwenye picha apo juu ni sahani ambayo imesahaulika kuchukuliwa baada ya mwanafunzi kumaliza kula mda mrefu uliopita.

No comments:

Post a Comment