DR.KITIMA MGENI RASMI KUWAAGA WANACHUO WANAOTALAJIA KUMALIZA MASOMO YAO YA ELIMU YA JUU SAUT
WANAFUNZI WA KIKATORIKI CHUONI SAUT MWANZA LEO WAFANYA SHEREHE YA KUWAAGA WANACHUO WENZAO WA MWAKA WA TATU NA WA NNE,KATIKA UKUMBI WA M 10 AMBAPO MGENI RASMI ALIKUWA DR.KITIMA,
SWALA SIO CHETI BALI NI KUJITOA NA KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MATENDO YAKO YA KILA SIKU,USIHUDHUNIKE KWA KUKOSA CHET BALI UHUDHUNIKE KWA KUTOKUWA KARIBU NA MUNGU KIPINDI CHOTE
HONGERA KWA WOTE WANAOTALAJIWA KUMALIZA CHUO MWAKA HUU,NAWATAKIA MAANDALIZI MAZURI YA MITIHANI YAO APO MBELENI
ReplyDeleteMBONA WEWE SIJAKUONA KWENYE SHEREHE BARTAZARY
ReplyDeleteNILIKUWEPO SEMA NILICHELEWA KUJA DADANGU
ReplyDeleteHONGERENI SANA WAHITIMU
ReplyDeletenawatakia mitihani mema apo mbeleni
ReplyDeletemitihai mema
ReplyDeletehengereni jamani mm nilimsi that thing.....
ReplyDeletekweli kwenda kanisani ni muhimu jamani nimekosa graduation ya dini hivi hivi
ReplyDeleteNASHANGAA SANA AGNES WAKATI NA WEWE NI MKRISTU MZURI HATA KANISANI SIJAKUONA
ReplyDeleteUWE UNAENDA KANISANI LAKINI AGNES
ReplyDeleteyaani mi mwenyewe 4 the 1st time sina chet cha dini, najinea aibu na nafsi yangu
ReplyDeletePOLE SANA KAZA UKIFIKA MASTERS UKIPATE UWEZI JUA UNAWEZA PATA KAZI KWENYE SHIRIKA LA MA SISTER
ReplyDeleteSWALA SIO CHETI BALI NI KUJITOA NA KUMTUMIKIA MUNGU KATIKA MATENDO YAKO YA KILA SIKU,USIHUDHUNIKE KWA KUKOSA CHET BALI UHUDHUNIKE KWA KUTOKUWA KARIBU NA MUNGU KIPINDI CHOTE
ReplyDeleteHIYO NI ADITIONAL POINT KWA RENALDA
ReplyDeletepolen.... mliokosa kuhudhuria gradu hyo
ReplyDelete