Saturday, May 12, 2012

POLE MAMA KWA KAZI NZITO


 

Mmoja kati ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Mtakatifu Augustine kilichopo Mwanza, akiwa anampa pole mama wakati anatoka kwenye shughuli zake za kufua nguo za wanafunzi apo chuoni.Mama uyu kwa jina ni Mama Vero ni mkazi wa apa jijini Mwanza huwa anafanya kazi ya kuwafulia nguo wanafunzi wakike na wakiume wa apo chuoni na kupewa kiasi flani cha fedha kwa kazi hiyo,kiwango ambacho akikidhi mahitaji yake ya msingi pamoja na familia yake uko nyumbani kwake.

No comments:

Post a Comment