Saturday, May 12, 2012

MASHINDANO YA FAWASCO YANAYOENDELEA SAUT YALIYOFIKA KIWANGO CHA ROBO FAINALI


 

Mmoja kati ya mashabiki wa mpira wa miguu chuoni (SAUT) akiwa anafatilia mashindano yanayoendelea ya FAWASCO apo chuoni ,ambapo mashindano ayo yamefika katika kiwango cha robo fainali.

 

No comments:

Post a Comment