Saturday, May 12, 2012

MENEJA (UNYAYO ABDULAHMANI): HONGERA SANA TIMU YA BAPRM3 KWA KUFIKA ROBO FAINALI




Meneja wa timu ya miguu ya BAPRM3 (SAUT) Unyayo Abdurahmani (Kisasa Gharama) atoa pongezi zake kwa timu hiyo kwa kujitaidi kufika kiwango cha robo fainali kwenye mashindano yanayoendelea chuoni apo ya FAWASCO.Ambapo wiki iliyopita tarehe tano mwezi wa tano timu hiyo ilichuana na timu ya wanasheria wa mwaka wa tatu(LLB3) na kupigwa kichapo cha gori moja bila na wanasheria hao wa mwaka wa tatu,kitu ambacho kilipelekea timu ya BAPRM3 kutolewa katika mashindano ayo ya FAWASCO.

1 comment: