Hizi ni ya stationary zilizoko katika chuo kikuu cha MtakatifuAugustine (SAUT) jijini Mwanza, katika maeneo ya Nyamalango chuoni apo,zaongeza bei ya kutoa photocopy kutoka kiwango cha shilingi 30 hadi shilingi 50 kitu ambacho kinakuwa kigumu kwa wanachuo kukidhi huduma hiyo ya photocopy kutokana na ugumu wa upatikanaji wa hela apo chuoni
No comments:
Post a Comment